Habari Picha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan ahutubia Bunge

Habari Picha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan Mapema leo hii amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Taifa kwa Ujumla. 

Wakuu wa vyombo  vya ulinzi na usalama nchini wamehudhuria tukio hilo akiwemo Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini CGI Dkt. Anna Makakala.

News and Events

KUITWA KWENYE MAFUNZO - MARCH, 2024

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia Vijana waliofaulu usaili na kuchaguliwa, kujiunga na Chuo cha Uhamiaji Raphael Kubaga kilichopo Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga, kuwa wanatakiwa kuripoti tarehe 03 Aprili, 2024...

TAARIFA KWA UMMA 02 April, 2024

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia vijana waliochaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji; ambao walitakiwa kuripoti kwenye mafunzo katika Chuo cha Uhamiaji cha Raphael Kubaga kilichopo mkoani Tanga tarehe 03 Aprili,...

« »