• 31 januari, 2018
    31 januari, 2018

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akionesha Pasipoti Mpya ya Kielektroniki ya Tanzania.

  • 9 Septemba, 2020
    9 Septemba, 2020

    Wasafiri wakipata huduma katika kaunta za uhamiaji, kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume -Zanzibar.

  • 09 Disemba, 2021
    09 Disemba, 2021

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan akimvisha Nishani ya Miaka 60 ya Uhuru CGI Dkt. Anna Makakala ikulu Dsm 09 Disemba 2021

  • 09 Disemba,2021
    09 Disemba,2021

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassa akikagua Gadi ya Uhamiaji wakati wa Sherehe za Miaka 60 ya Uhuru 09 Disemba 2021 Dsm

  • 12 Januari, 2022
    12 Januari, 2022

    Rais wa Zanzibar Mhe. Dkt Hussein Mwinyi akikagua gadi ya Uhamiaji wakati wa Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 58 ya Mapinduzi ya Zanzibar  2022

  • 15 Agosti, 2022
    15 Agosti, 2022

    Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan  akipanda mti wa kumbukumbu katika Chuo cha Uhamiaji cha Rapheal Kubaga kilichopo Boma Kichakamiba mkoani  Tanga. Mhe. Rais alikuwa hapo kwa ajili ya kuzindua chuo hicho pamoja na kufunga mafunzo ya awali kwa askari wa Uhamiaji.

 Habari Picha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan Mapema leo hii amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Taifa kwa Ujumla. 

Wakuu wa vyombo  vya ulinzi na usalama nchini wamehudhuria tukio hilo akiwemo Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini CGI Dkt. Anna Makakala.
 

Habari Picha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan Mapema leo hii amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Taifa kwa Ujumla. 

Wakuu wa vyombo  vya ulinzi na usalama nchini wamehudhuria tukio hilo akiwemo Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini CGI Dkt. Anna Makakala.

Habari Picha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan Mapema leo hii amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Taifa kwa Ujumla. 

Wakuu wa vyombo  vya ulinzi na usalama nchini wamehudhuria tukio hilo akiwemo Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini CGI Dkt. Anna Makakala.
 

Habari Picha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan Mapema leo hii amelihutubia Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Taifa kwa Ujumla. 

Wakuu wa vyombo  vya ulinzi na usalama nchini wamehudhuria tukio hilo akiwemo Kamishna Jenerali wa Uhamiaji nchini CGI Dkt. Anna Makakala.
 

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji kwa Mamlaka niliyonayo chini ya Kanuni Namba 11(1) ya Kanuni za Uendeshaji za Uhamiaji za Mwaka 2018, natangaza nafasi za Ajira Mpya za Askari wa Uhamiaji kwa Vijana wa Kitanzania wenye sifa zifuatazo:-

1. SIFA ZA MWOMBAJI

  1. Awe ni raia wa Tanzania;

  2. Awe amehudhuria na kuhitimu mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) au Jeshi la Kujenga

    Uchumi (JKU) waliopo Makambini au tayari amerudi Uraiani;

  3. Awe hana ajira au hajawahi kuajiriwa na Taasisi yoyote Serikalini;

  4. Awe na Cheti cha Kuzaliwa;

  5. Awe na Kitambulisho cha Taifa au Nambari ya Utambulisho iliyotolewa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA);

  6. Awe na siha njema ya mwili na akili iliyothibishwa na Daktari wa Serikali,

  7. Awe hajawahi kutumia Dawa za kulevya;

  8. Asiwe na Kumbukumbu au Taarifa zozote za kuhusika katika masuala au matukio ya uhalifu au jinai;

  9. Asiwe na alama yoyote au michoro (Tatoo) katika mwili wake;

  10. Awe hajaoa au kuolewa wala kuwa na mtoto;

  11. Mwombaji mwenye Elimu ya Kidato cha Nne awe na umri kuanzia miaka 18 hadi miaka 23, Mwombaji mwenye Elimu ya Kidato cha Sita na Stashahada awe na umri kuanzia miaka 18 hadi miaka 26 na Mwombaji mwenye Elimu ya Shahada awe na umri kuanzia miaka 18 hadi miaka 30.

  12. Awe tayari kufanya kazi za Idara ya Uhamiaji mahali popote Tanzania.

  13. Awe tayari kujigharimia katika hatua zote za ufuatiliaji na uendeshwaji wa zoezi la

    Ajira.

Address of Head Quater Office 

Address of Head Quater Office 

Address of Head Quater Office listed in alphabetical order

Dr. Anna P. Makakala

Commissioner General of Immigration

News and Events

KUITWA KWENYE MAFUNZO - MARCH, 2024

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia Vijana waliofaulu usaili na kuchaguliwa, kujiunga na Chuo cha Uhamiaji Raphael Kubaga kilichopo Wilaya ya Mkinga Mkoani Tanga, kuwa wanatakiwa kuripoti tarehe 03 Aprili, 2024...

TAARIFA KWA UMMA 02 April, 2024

Kamishna Jenerali wa Uhamiaji anawatangazia vijana waliochaguliwa kujiunga na Idara ya Uhamiaji; ambao walitakiwa kuripoti kwenye mafunzo katika Chuo cha Uhamiaji cha Raphael Kubaga kilichopo mkoani Tanga tarehe 03 Aprili,...

« »